PIGIA KURA GOLI BORA LA LIGI YA MABINGWA ULAYA...

Tuesday, 9 June 2015



Kutoka Aaron Ramsey aliyeifungia Arsenal katika hatua ya makundi dhidi ya Galatasaray hadi kwa Ivan Rakitic aliyeifungia Barcelona goli la kuongoza katika fainali dhidi ya Juventus, mabao yaliyofungwa msimu huu wa Ligi ya Mabingwa Ulaya yameleta msisimko wa aina yake tangu mwanzo hadi mwisho.

Juhudi bora zilizofanyika katika ufungaji wa magoli hayo zimepigiwa kura kuwania goli la Wiki la Ligi ya Mabingwa Ulaya, yaliyowasilishwa na Nissan. Sasa ni wakati wa kuamua goli bora la mashindano yote.

Wachezaji wanaowania kinyang'anyilo hicho kutoka Nissan ni:

1. Aaron Ramsey Vs Galatasaray
Galatasaray 1 - 4 Arsenal

2. Branislav Vs PSG
PSG 1 - 1 Chelsea

3. Leroy Sane Vs Real Madrid
Real Madrid 3 - 4 Schalke 04

4. Luis Suarez Vs PSG
PSG 1 - 3 Barcelona

5. Lionel Messi Vs Bayern
Barcelona 3 - 0 Bayern

6. Ivan Rakitic Vs Juventus
Juventus 1 - 3 Barcelona

Pigia kura bao la ushindi katika mashindano haya ya goli la Wiki yanayowasilishwa na Nissan na unaweza kushinda zawadi ya kipekee ya mpira uliotumika katika mechi za Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu wa 2014/2015.
Piga kura yako hapa:
http://bit.ly/1wucePX



0 comments:

Post a Comment